• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Rufiji District Council
Rufiji District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
      • ladi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Work and Fire Rescue
      • Ardhi na Maliasili
      • Mazingira
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji na Umwagiliaji
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma ya maji safi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Fedhda, Utawala na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Social Services
      • Maadili
    • Ratiba za Vikao
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa vyombo vya habari

ARIDHI ILIYOMILIKIWA KIHOLELA YARUDISHWA KWA WANANCHI.

Posted on: November 17th, 2020

Mkuu wa Wilaya Luteni Kanali Patrick Sawala amerudisha aridhi kwa Wananchi wa Kijiji cha Shela Kata ya Mohoro iliyokuwa ikimilikiwa na Bw. Rajabu Kaskazi kinyume Cha Sheria. Awali bwana Kaskazi alizuia Ujenzi wa Shule Shikizi kwa watoto wa Kijiji hicho usiendelee na kukitaka kijiji kimrudishie  eneo lake Jambo ambalo Serikali imebaini kuwa eneo hilo ni mali ya Kijiji na kuwa Kaskazi alijichukulia eneo hilo bila kufuata taratibu.
Awali, Rajabu Kaskazi alimuandikia Mkuu wa Wilaya kumuomba amsaidie kurudishiwa eneo hilo, huku akiambatanisha na hukumu ya baraza la ardhi la kata na Baraza la ardhi Wilaya lililopo Mkuranga ambapo hukumu hiyo iliamuru kuwa Bw. Rajabu Kaskazi arudishiwe eneo lake la hekari Tano ambalo lilikuwa limechukuliwa na Bw. Rajabu Mpili.
Baada ya Uchunguzi wa Kina wa Mkuu wa Wilaya na Timu yake imebainika kuwa, eneo analodai Rajabu kaskazi kuwa ni lake na amepewa haki kisheria, sio eneo ambalo Serikalikali ya Kijiji imetenga kwaajili ya Ujenzi wa Shule . 
Kufuatia tukio hilo, Mkuu wa Wilaya amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg, Rashid Salum kuvunja Baraza la aridhi la Kata mara moja, kutokana na kuwa na mienemdo yenye maamuzi mengi yanayoonesha viashiria vingi vya kuwepo kwa Rushwa katika maamuzi yao." Kutokana na malala miko mengi tena ya Wananchi ambayo hufika mpaka Takukuru juu ya Baraza la aridhi Mkurugenzi ninakuagiza kuvunja Baraza la aridhi mara moja." Aliagiza

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI RUFIJI December 28, 2023
  • TANGAZO LA MNADA May 21, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI September 17, 2024
  • Ona zote

Habari Mpya

  • BEREGE AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATA YA MKONGO, KIPUGIRA, NGORONGO

    June 11, 2025
  • BEREGE AKAGUA UJENZI WA KITUO CHA AFYA KATA YA MOHORO.

    May 29, 2025
  • WAKUSANYA KODI RUFIJI WAPEWA MAFUNZO UKUSANYAJI WA KODI YA MAJENGO, PANGO LA ARDHI NA USHURU WA MABANGO.

    May 26, 2025
  • BEREGE AWATAKA WAFANYABIASHARA RUFIJI KUANZA KUJIANDAA NA KUZITUMIA FURSA ZA UWEKEZAJI

    May 21, 2025
  • Ona zote

Video

Viwanja vinauzwa Mparange Ikwiriri Wialayani Rufiji
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Bima ya Afya ya Taifa
  • Fomu ya Uhamisho wa Mwanafunzi wa Sekondari

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Serikali - Tanzania
  • OR-Tamisemi
  • Utumishi wa umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI(W),

    Anwani ya Posta: S.L.P 28 UTETE/RUFIJI

    Simu ya Mezani: 0232010304

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@rufijidc.go.tz

Mawasiliano mbadala

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©Ded-RufijiDC 2017 Haki zote Zimehifadhiwa